Jumatano, 7 Aprili 2021

Ni Miaka 9 imepita tangu Icon wa Filamu Tanzania na Barani Afrika 'STEVEN KANUMBA' alivyotutoka , April 7 2012 .

Top Talent


Ni Miaka 9 imepita tangu Icon wa Filamu Tanzania na Barani Afrika 'STEVEN KANUMBA' alivyotutoka , April 7 2012 .

Tutaendelea kumkumbuka Daima kutokana na Mchango wake mkubwa katika kuijenga Tasnia ya Filamu Tanzania .

Je, ni Filamu gani ambayo unaipenda zaidi kutoka kwa Steven Kanumba ?


Hakuna maoni:

Layout

Mtua Studio- Photo Shoot

Top Talent