blessings king #africa
Heri ya siku yako ya kuzaliwa mfalme wa bongoflever @officialalikiba mungu akuzidishie riziki na uendelee kugawana kama tunavyogawana huko Tabora kwenye

King Alikiba amewasili Tabora na kupokelewa na love ya kutosha kutoka kwa wakazi wa Mkoa huo ambapo tour yake ya UNFORGETTABLE inaanzaia hapo siku Jumamosi ambayo itaambatana na miaka 17 kwenye game ya bongo flava pia kumbukizi yake ya kuzaliwa Novemba 29.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni