Jumanne, 12 Novemba 2019

ROMA: “Bakhresa mwenyewe hana baunsa, natamani nimnase vibao, Fid Q, Baunsa analinda nini?

Top Talent

“Sitegemei Mtu kama MwanaFA siku moja ataanza kutembea na mi-camera, na Walinzi 10, Bakhressa mwenyewe tunasali nae hana Baunsa, natamani nimnase vibao, FID Q, Baunsa analinda nini?” hizo ni baadhi ya kauli za Roma Mkatoliki alipokaa kwenye On AIR with Millard Ayo, bonyeza play hapa chini kuitazama yote part II.
ROSTAM: “KUNDI LITAVUNJIKA NDANI YA WIKI, DOGO JANJA KUBWA ZIMA LILE, NAY KUJIUNGA ROSTAM?”

Hakuna maoni:

Layout

Mtua Studio- Photo Shoot

Top Talent