Jumapili, 15 Aprili 2018

#HABARI Watu saba wamefariki dunia kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam.

Top Talent
Watu saba wamefariki dunia kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amethibitisha, na kueleza kwamba mwili mmoja umekutwa ukielea kuelekea Jangwani.

Hakuna maoni:

Layout

Mtua Studio- Photo Shoot

Top Talent