Jumanne, 31 Desemba 2013

Top Talent PROMODATE LTD PAMOJA NA MTUA RECORDS KUFIKA KWENYE KABULI LA ALBEIT MANGWAIR SIKU YA LEO JIONI KABLA YA KUFUNGUA MWAKA NA SHOW YA KUFA MTU MJINI MOROGORO SIKU YA KESHO TAR 1/01/2014

Top Talent

Manager wa Top Talent akiwa mjini Morogoro kwaajili ya Show kubwa inayo tarajiwa kufanyika uwanja wa Jamuhuri
siku ya kesho..... ambapo kutakuwa hapatoshi ndani yake uta mapata msanii Young Killer kutakuwa na mtumzima Godzilla  Darasa Afande Sere Mkongwe mwenyewe
na wengine wengi wanao jiweza kama uko mbali fanya tujivute pande zile...... waweza ambatana na baadhi ya wadau kutoka
Mtua Records kuelekea Moro siku ya tarehe Moja..... sio ya kusimuliwa RIP BROTHER HOOD ALBEIT 

Hakuna maoni:

Layout

Mtua Studio- Photo Shoot

Top Talent