Alhamisi, 18 Aprili 2013

MAELFU WAHUDURIA MAZIKO YA MAREHEMU BI KIDUDE.

Top Talent
                     Tulikupenda lakini Mungu amekupenda zaidi R.I.P..........KIDUDE BINTI BARAKA
Msanii Fid Q, Baraka cousin ya Marehemu Bi Kidude na Hassan Bond Mussa (FID Q ndo alikuwa msanii wa kwanza mkubwa kufika msibani kwa bibi)
Mtangazaji Hassan Bond, Fid Q, Diamond Platnumz na Ruge Mutahaba wakiwa msibani nyumbani kwamarehemu bi Kidude, Zanzibar
Hassan na Fid Q wakiwa katika picha ya pamoja na familia ya Marehemu Bi Kidude
 Jeneza la bibi likielekea msikiti kwa ajili ya kusaliwa
                                                  Sehemu ya umati wa Watu waliofika msibani

                                           Endelea kuwa nasi kwa tukio zima la maziko ya Bibi yetu






Hakuna maoni:

Layout

Mtua Studio- Photo Shoot

Top Talent