Jumapili, 17 Machi 2013

Fid -Q akiwa kwenye mizunguko yake Nchini Marekani,


Msaniii mashuhuri wa Mziki wa bongo fleva nchini Fid-Q Jamaa akiwa kwenye mizunguko yake nchini marekani... angalau kwasasa wasanii wa Tanzaniaiwameanza kufaidika na kazi zao... ziara ya fid q ilionekana kuwa na mafanikio na kukutana na wasanii tofaut tofaut akiwemo mtumzima Fat Joe' kwahabari zaid endelea kutembelea blog yetu.... Top Talent dio habari ya mjini






Hakuna maoni:

Layout

Mtua Studio- Photo Shoot

Top Talent