#Bongo5Updates: Aliyekuwa Mkurugenzi wa Kituo cha @humanrightstz Hellen Kijo baada ya kustaafu amesema taarifa zilizoenea kwenye mitandao ya Kijamii za kuteuliwa na Baraza la Wazee wa Chadema si la Kweli na hata angeteuliwa na CHADEMA asingekubali kwasababu yeye si Mwanasiasa
Ijumaa, 1 Juni 2018
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni