Jumanne, 24 Aprili 2018

Kwa mara ya kwanza ktk historia ya Uwanja wa Ndege Dar, Ndege kubwa ya ‘gorofa’ A380 ya Fly Emirates imetua leo,

Top Talent




Kwa mara ya kwanza ktk historia ya Uwanja wa Ndege Dar, Ndege kubwa ya ‘gorofa’ A380 ya Fly Emirates imetua leo, Wafanyakazi Airport wanasema ilikua inaelekea Mauritius lakini imeshindwa kuelekea huko sababu ya hali mbaya ya hewa hivyo imetua Dar kwa muda. #MtuaUPDATES

Hakuna maoni:

Layout

Mtua Studio- Photo Shoot

Top Talent