Alhamisi, 19 Desemba 2013

Mkali wa Rhymes Afande Sele atoka Moro Mji kasoro bahali akiwa na Mkurugenzi wa Top Talent {Mtua Records}

 Top Talent:  Mkali wa Rhymes Afande Sele atoka Moro Mji kasoro bahali akiwa na 
Mkurugenzi wa Top Talent {Mtua Records} siku yajana kwaajili ya maandaliza  na kuweka sawa 
Gem ya bongo  flaver  na kuirudishia hesma yake..... kama ulikuwa haujui siku ya tar 1 jan 2014 Mfalme Wa Rhymes Afande Sele atakuwa akizindua albam yake mpya inayo kwenda kwa jina la Kingdom Amani na Upendo
 

Kwahabari zaidi endelea kutembelea blogspot yetu....... Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Mtua Records.

Hakuna maoni:

Layout

Mtua Studio- Photo Shoot

Top Talent