Joh Makini Vs Nikki Wa Pili - Bei Ya Mkaa, Download Na Sikiliza Na Pata Habari Kuhusu Wimbo Huu Hapa.

Ni swali lililoulizwa kwa muda mrefu toka Nikki Wa Pili Anatoka wakati Joh Makini alikuwa tayari mtaani aki Shine kama solo artist. Well tayari wamesha rekodi baadhi ya single kwenye album hio na ndio inaelekea kukamilika. Album itaitwa Joh Makini VS Nikki Wa Pili
Hii Ndio Single yao Mpya Inaitwa Bei Ya Mkaa On Mtua Records

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni